oryt mylove,ryt on myway with flowers lkn nikukute mwenyewe ryt?
Mwenye birthday yake anapoikimbia thread yake, hii si sababu ya kukutana kujadili jinsi mpira unavyoweza kuharibu social life za watu?
Umefikisha Miaka Mingapi jamani Kimey...
HAPPY BIRTHDAY
Nimerudi nilikua nabadilishwa Pumpers!Mwenye birthday yake anapoikimbia thread yake, hii si sababu ya kukutana kujadili jinsi mpira unavyoweza kuharibu social life za watu?
Thanks maamuma!Happy Birthday Kimey! God bless you now and always!
Namkaribia Mugabe! Thanx Darlintone.Umefikisha Miaka Mingapi jamani Kimey...
HAPPY BIRTHDAY
Thanx RealMan kwa baraka zako!Kiongozi nakutakia kila lenye heri katika maisha!
Mola akulinde, akuneemeshe na akutunze tunzo itunukiwayo washindi.
Hakika, Mwenye Enzi Mungu akuneemeshe.
Happy Birth Day Ki-Mey!!!!!!!!!!!!
Happy bday, uishi hadi uone Tanzania bila mafisadi..
Kimey kumbe bado kijana mbichi kabisa weye!!!!!!Namkaribia Mugabe! Thanx Darlintone.
Hahaha thanks kamanda!hongera kamanda.
flight : age number
transit: ujana
2nd Transit: mdingi
final destination: not to be mentioned for the sake of besdei party.
Khee Kheee itakuwa shughuli sana maana Kimey naye fisadi
Khee Kheee itakuwa shughuli sana maana Kimey naye fisadi
Kimey ni kafisadi on the makingKhaa! Eee jama.