Babu unataka kugongwa na Darlington?
Kwa mfano nikauomba hapa afu ukanikatalia, mtu kama huyu hapa chini anayenitafuta ubaya, si atanifungulia sredi?
AmeniPM hapa, anasema anaomba uwe unamgongea senks kwenye kila post yake....
Babu karudi kitandani
Thanx murefu.hongera kwa kuendelea kuzeeka
basi tu nina furaha ya torresvery provocative,yah?
lakin she is the one who provokes me since last week
ask her to shut up
Unaogopa kujadiliwa?? Haya Njoo chemba utoe maombi yako
Naanza kama hivi....
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Darlingtone (Today)
Tatizo nabisha hodi malangoni mwako we hutaki kunifungulia. Ntatoaje maombi yangu kupitia dirishani? Yanahitaji na kupakana mafuta pia...upako.
Heee! nilikuwa wapi/.........duh! kweli mkoloni kaning'ang'ania kiuno.
HAPY BIRTHDAY Hommie!!!
Mlango uko wazi, sema we umezoea chabo
Sasa wenye wivu wajinyonge.... Babu niko faragha na darlingtone. Tunateta yetu!
Mtanikuta kwenye namba tatu ya sheria zetu mama.......mwe!
Mtanikuta kwenye namba tatu ya sheria zetu mama.......mwe!
Aisee we mtu nakumbuka nlikuambia ukae kimya, mbona bado unabwabwana na hawa wamachinga?
shkamoo darlingtone!Pangeni Ratiba tu.... Huku ngoma, Kule sarakasi, Upande mwingine Kwaya....
Pangeni Ratiba tu.... Huku ngoma, Kule sarakasi, Upande mwingine Kwaya....
Sawa Babu, nimekusikia.... chukua msuli uvae....
Na nikiona unajibizana nao tena, naondoka malangoni mwako.
Tulia babu... nshakuvisha msuli we ngoja nimalizane na vikundi vingine... si unajua Part time job na permanent employment... subiri nihudhurie kwenye Part time, ntarejea.... soon
Mwe.... Hii sredi ilivyochakachuliwa na hizi lugha macho yangu hayafanyi kazi tena aisee....