Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Vipi mkuuKila la kheri kwenye siku yake ya kuzaliwa...
Acha unaaaπππVipi mkuu
Si namsalimia ndugu yangu hapo ππAcha unaaaπππ
Sawa mkuuSi namsalimia ndugu yangu hapo ππ
Hiyo sawa vipi.Sawa mkuu
Muwe na busara ,msije hata ikafika wakati mkatukanana kwa lolote ,enjoy this time wont last fOrever
πππHiyo sawa vipi.
Jamaa yako superbug nawe umekana.
Mwaka huu ni kukanana tu ππ
Haipo Tena ?Hongera sana. HBD kwake
Ila inabidi mfanye chap muoane km bado isije shetani akaingia hapo kati kati
Nilikuwa napenda sana hii Couple ya Smart na Mahondaw lkn ilisharest in peace
Uchawi huuMtaachana tu, maybe not today or tomorrow but mtaachana tu
Hata Smart aliambiwa hivi kiko wapi?
Describe hii ni kichit chat au.
sasa ningemwaga vipi pale public sema mods wenyewe walishtuka palikuwa panalipuka angehama mtu humu.. Wakafuta. πππMbona ukapotea hukunipa ubuyu na uzi ukafutwa
Ngoja nije pmsasa ningemwaga vipi pale public sema mods wenyewe walishtuka palikuwa panalipuka angehama mtu humu.. Wakafuta. πππ
Asante kwaniabaKila la kheri kwenye siku yake ya kuzaliwa...
Dua la kuku hili mkuuHata Smart aliambiwa hivi kiko wapi?