Happy birthday Kiwatengu

Hahahaaaaa!! Nicheke mie na mbavu ninazo, kumbe ndio maana unadandia tu hadi mabox, ila uache kunisingizia mie.


Wivu sana weye...! Punguza wivu mtoto weye, acha kunata...! Teeh!
 
Wivu sana weye...! Punguza wivu mtoto weye, acha kunata...! Teeh!

Hahahaaaaa!! Sasa wivu utoke wapi jamani? Njoo nikugawie nyota maana yangu inang'aa kweli ndio maana nanata, kunata suna kwa mwanamke atii.
 
Hahahaaaaa!! Sasa wivu utoke wapi jamani? Njoo nikugawie nyota maana yangu inang'aa kweli ndio maana nanata, kunata suna kwa mwanamke atii.

naanza kuamini katika uzuri wako!!
 
Una akili sana dogo....
Copy kwa atoto kwa uthibitisho..
Eli79 hivi kwanini huwa hukubaliani na ukweli? Just move on baby mie sipo huko tena, najua unanipenda mnoooooo, hilo nalijua, ila sasa mie ndio vile tena.
 
Last edited by a moderator:
Eli79 hivi kwanini huwa hukubaliani na ukweli? Just move on baby mie sipo huko tena, najua unanipenda mnoooooo, hilo nalijua, ila sasa mie ndio vile tena.


Uzuri haya maneno sikuyasema mimi. "body language" yako na "mwandiko" wako umesomeka hata kwa kiwatengu. Hiyo inaitwa "reading between the line" kwa kidhungu.
 
Last edited by a moderator:
Uzuri haya maneno sikuyasema mimi. "body language" yako na "mwandiko" wako umesomeka hata kwa kiwatengu. Hiyo inaitwa "reading between the line" kwa kidhungu.

Hahahaaaaa! We humjui kiwatengu ni mzee wa match making, ila kwa hapa amefeli.
 
Last edited by a moderator:
Uzuri haya maneno sikuyasema mimi. "body language" yako na "mwandiko" wako umesomeka hata kwa kiwatengu. Hiyo inaitwa "reading between the line" kwa kidhungu.

ha ha ha...ngoja nikamilishe!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…