Naona king Le mutuz yupo na wajomba Tukuyuk
kwa hiyo unabidi kumueshimu le mutuz.View attachment 360213HAPPYBIRTHDAY MY KING ALL SOCIAL MEDIA.
SWISSME
Ila katimiza sio kutumizaHongera le mutuz Kwa kutumiza miaka 55,leo jumamosi ya tarehe 25.06.2016
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]MSAGA SUMU njoo huku unaitwa.
Huo umri jeshi angekua amestaafu .....jamaa anaumri sawa na nyumba za kariakoooHongera le mutuz Kwa kutumiza miaka 55,leo jumamosi ya tarehe 25.06.2016
King of social media, ever humbled you know.Le Mutuz ni nani???
Huu si ufataki kweli jamani? Maana tofauti ya miaka hapo ni kama 19 yani anamzaa bila ya tatizo. Hizi selfie zimeleta mambo yani babu zee linaweka poutty lips nalo jamani, huku ni kujidhalilisha hasa.Hbd lemutuz
Nina hakika mdogo wako wenyewe wa kike, maana hayo mapozi ya picha ni balaa.Mbona ana mambo kama ya mdogo wangu?
Stable lady katika usitable wako!King of social media, ever humbled you know.
Teh Teh nimecheka sana...Huo umri jeshi angekua amestaafu .....jamaa anaumri sawa na nyumba za kariakooo
Huyu mbebezzz umri wake ni sawa na nyumba za kariakoo.....mana zimejengwa miaka ya 50 kuja 60 halafu anajiona janki....shida hataki kukubali kua uzee umemwita wakti kala xmas 55 si babu huyoTeh Teh nimecheka sana...
Gadem.....HAPPY BORN DAY MTOTO WA TUKUYU TOWN