MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Hqppy birthday. Toa hayo makucha ya Kunguru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ipo mkuuHappy birthday to him more years kwa mkulungwa,swali la kizushi
Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu. Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi...www.jamiiforums.com
Hii ndoa bado ipo
Ndoyanayomsisimua mwenzakoHqppy birthday. Toa hayo makucha ya Kunguru
Ok, yanapelekea wewe kua na UTINdoyanayomsisimua mwenzako
Kwahiyo jamaa umemfanya mchepuko wa kudumu ili ndoa iweze kudumuBado ipo mkuu
Ntanzingatia hiloOk, yanapelekea wewe kua na UTI
Yeye ni main hakuna mchepukoKwahiyo jamaa umemfanya mchepuko wa kudumu ili ndoa iweze kudumu
Sante kwaniabaHappy birthday shem
Toa wishers kwanza ndio uanze malalamiko[emoji23][emoji23]Huyo Kingsmann mwenyewe mbona hajibu?au kakasirika[emoji16][emoji16][emoji16]
Nilikuwa mtu wa pili kumuwish ndio maana imeniuma😁Toa wishers kwanza ndio uanze malalamiko[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Atakuja usijali mambo mengi mjin[emoji23]Nilikuwa mtu wa pili kumuwish ndio maana imeniuma[emoji16]