Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Labda alimaa isha amesoma taaluma ya banking kwenye nchi hizo.Madaraka amesoma Banking,Italy na Canada! Banking ni nchi gani?
Banking ni kozi aliyosoma chuo huko nchini Italy na Canada.Madaraka amesoma Banking,Italy na Canada! Banking ni nchi gani?
Ndiyo,Madaraka ni banker.Labda alimaa isha amesoma taaluma ya banking kwenye nchi hizo.
Aliweka , kati ya banking na Canada ndio ikanichanganya.Banking ni kozi aliyosoma chuo huko nchini Italy na Canada.
Kwenye taarifa za mitandaoni Nyerere alioa 1953 na alijaliwa kupata watoto wanane hivyo kama Madaraka ndiye mtoto wa mwisho na sasa ana miaka 64 maana yake amezaliwa mwaka 1960 sasa je Mama Maria aliwezaje kuzaa watoto wanane kwa miaka saba? Yaani kutoka 1953 hadi 1960 alipomzaa huyo mtoto wake wa mwisho Madaraka? Hata kama huyo Madaraka angekuwa mtoto wa tano kuzaliwa bado ningependa kupata ufafanuzi,ni watoto wa mama tofauti au inakuwaje?Leo Madaraka anatimiza miaka 64.
Ni mtoto wa mwisho wa Mwalimu Nyerere ( now that Rose Nyerere has passed away).
Madaraka amesoma Banking, Italy na Canada.
Madaraka ana predilection for going to Uhuru Peak,( Uhuru Peak,that is the summit of Mount Kilimanjaro).
Ndio maana jamaa ana utulivu sana wakati wa kuzungumza kumbe kasoma njeLeo Madaraka anatimiza miaka 64.
Ni mtoto wa mwisho wa Mwalimu Nyerere ( now that Rose Nyerere has passed away).
Madaraka amesoma Banking, Italy na Canada.
Madaraka ana predilection for going to Uhuru Peak,( Uhuru Peak,that is the summit of Mount Kilimanjaro).
Kitendo tu cha kutokua na mambo mengi tayari Tz huwezi kuwa Rais๐ si unaona kina Magu, JKMadaraka hana mambo mengi ni mstaarabu nimekaa naye jamaa ni wa kawaida sana Mungu ampe njia awe rais wa nchi hii
Good to know, mie na madaraka ni tunu ya ulimwengu, happy birthday to Us๐๐Kumbe naye alizaliwa tarehe yenye namba 13 .
Watu tuliozaliwa tarehe yenye namba 13 ni tunu ya ulimwengu.
Hongera Madaraka Nyerere.
Only the best for your special day! Stay as wonderful as you are .
Hongera mkuu .Good to know, mie na madaraka ni tunu ya ulimwengu, happy birthday to Us๐๐
Huko Kanada kwa wadhungu weupeeMadaraka amesoma Banking,Italy na Canada! Banking ni nchi gani?