Happy Birthday Mahondaw

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna siku nilitoroka nikakutana nae kwenye basi, weeeh nilimute kama sio mimi. Sikuamini hakuniita wala kunihoji. Ila nilimkwepaaaa hadi namaliza shule yani nisikutane nae tu. Kumbe alikuwa anakumbuka bwana, siku ya graduu akaniambia, "bahati yako umepata zawadi lasivyo ningekubarasaaa hadi mitihani uione michungu"
 
Haha bora hata ulijificha asee ungekoma mbona! Mimi ilikua hata kwa bahati mbaya nikigongana nae macho tu dakika sifuri nyingi hanioni nishajichanganya kwingine kama si kupotea eneo hilo
 
He is trouble maker,naingia jf juzi anapaprika kila kona anataka ajulikane huyo.
Mpotezee na achana nae tu shoga angu
Hee sasa we nyau nani asiye nijua humu ? Au unataka nikupe tusi mubashaara?

Sitoi kiki.
 

And I always thank God for you love

you are kind of a man every woman would like to have love trust me..

Yani huwa nakutafakari sipati majibu kabisa my Smart911 naishia kujiuliza tu ulikua wapi miaka yote hio dahhhhhhhhhhh

I'm so blessed to have a blessed and genius man in my life

[HASHTAG]#Bakinamimi[/HASHTAG] Smart911 bebii
kimahondaw chako kinakupendajee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…