Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mtoto hapati zawadi bonii vibaya hivooo [emoji6] [emoji6] [emoji2]Ha ha ha karibu, Nipo labda tunapita njia tofaut si unajua JF kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto hapati zawadi bonii vibaya hivooo [emoji6] [emoji6] [emoji2]Ha ha ha karibu, Nipo labda tunapita njia tofaut si unajua JF kubwa.
Thanks for the wishes mkuu nawe barikiwa sanaMungu akupe maisha marefu kumzidi hata Robert Mugabe
Ha ha ha ha zawad ipo hujaamua tu kuitaka ukiitaka utapewa sina iyana mieMtoto hapati zawadi bonii vibaya hivooo [emoji6] [emoji6] [emoji2]
Sa mtoto hali kitu basdei yote hii rafiki jamaaaniiii!! Toto Anuna [emoji17] [emoji17] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Hapana. Pipi zinaharibu meno. Usipende vitu tutamu.
Nini rafiki?? Si ni kungwi huyo naona huwa anawapa mbinu chamani ili mtukamate mtusssshhhiiikkkee haswaaaaaa haha kitoto kidogo kina mambo hiki lol [emoji1] [emoji1]
Akuja chukuaa mimiiii [emoji126] [emoji126] [emoji126]Ha ha ha ha zawad ipo hujaamua tu kuitaka ukiitaka utapewa sina iyana mie
Karibu sana aisee na nnavyopenda watoto bas utaenjoy sanaAkuja chukuaa mimiiii [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Aaaiiiiiiii toto ataka jawadi stun tanunajee!Nasubiri mualiko wa keki tu
Usinune totoo. Mama akikutuma dukani pitiliza na huku kwangu, uje uchukue hamsini ukanunue andazi. Sawa eegh?Sa mtoto hali kitu basdei yote hii rafiki jamaaaniiii!! Toto Anuna [emoji17] [emoji17] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
ha hahahaha basi sawaLol maisha matamu bestii ngoja tu nibananeee nitatembelea hata mkongojo [emoji111] [emoji111]
Happy birthday
Hbd baby girl...Wapi kinahappen nije kukuogesha
Nakuletea nepi, poda na mafuta ya nazi... Sawa mamy?Aaaiiiiiiii toto ataka jawadi stun tanunajee!
Usinune totoo. Mama akikutuma dukani pitiliza na huku kwangu, uje uchukue hamsini ukanunue andazi. Sawa eegh?