Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
amefikisha miaka mingapi? alafu we zee kwa kujipendekeza kwenye nchi ya kusadikika unaongoza..ila mama samia suluhu mwambie nakuja kumwagia maji ..kweny B.day yake Leo nadhan ataenjoy.Wasalaam wana JF wote!
Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza sana Mana yetu kwa kuadhimisha siku hii muhimu sio kwako tu bali pia kwa na Watanzania wote.
Mungu azidi kukubariki.
Wasalaam wana JF wote!
Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza sana Mana yetu kwa kuadhimisha siku hii muhimu sio kwako tu bali pia kwa na Watanzania wote.
Mungu azidi kukubariki.
Mkuu hayo ni makosa ya Kawaida Kabisa muwie radhi mwenzio.Huko Lumumba mnajifunza ujinga?
mpe wewe tuzo sio unaleta siasa hapa ...uyo mama samia akuna cha maana alichowai kufanya hapa TzHuyu mama apewe tuzo ya mazingira kwa uthubutu alioonesha kuifanya Dodoma "kijani tena" (Kijanisha Dodoma) na kuhifadhi Bonde la mto Ruaha na sehemu zingine anakofanya jitihada kama hizi
"Happy Birthday mama Samia Suluhu"
Huwezi ukaona mazuri anayofanya huyu mama kwa sababu ya hali uliyonayo. Pole sana najua siyo wewe na hukupenda wala kuchagua uwe hivi, pole sanampe wewe tuzo sio unaleta siasa hapa ...uyo mama samia akuna cha maana alichowai kufanya hapa Tz
we nae sijui unamimba?Huwezi ukaona mazuri anayofanya huyu mama kwa sababu ya hali uliyonayo. Pole sana najua siyo wewe na hukupenda wala kuchagua uwe hivi, pole sana
mama yako abebe yangu ni mimi inaingia akilini wewe kijanawe nae sijui unamimba?
Mama samia hajazaliwa januaryWasalaam wana JF wote!
Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza sana Mama yetu kwa kuadhimisha siku hii muhimu sio kwako tu bali pia kwa na Watanzania wote.
Mungu azidi kukubariki.
Pongezi kwakeWasalaam wana JF wote!
Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza sana Mama yetu kwa kuadhimisha siku hii muhimu sio kwako tu bali pia kwa na Watanzania wote.
Mungu azidi kukubariki.