Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wasalaam wana JF wote!
Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza sana Mama yetu kwa kuadhimisha siku hii muhimu sio kwako tu bali pia kwa na Watanzania wote.
Mungu azidi kukubariki.
Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza sana Mama yetu kwa kuadhimisha siku hii muhimu sio kwako tu bali pia kwa na Watanzania wote.
Mungu azidi kukubariki.