Happy birthday Mama Samia

Nampenda sana uyu Mama,,From de bottom ov ma heart I luv ya So much
 
Nampenda sana huyu mama, msikivu, mpole, nilimpenda zaidi alipomtemaelea Tundu Lisu hospitali, yaani unamuona kabisa huruma yake kutoka moyoni na chozi la kweli alitoa, pia hana mambo ya kuweka rohoni na kufuatilia wasio na hatia, yeye anafanya kazi kwa kufata sheria na taratibu, pia ana busara sana HB MAMA SAMIA.
 
Naichukia sana ccm pamoja na wanachama/wafuasi wake, lakini inapofika kwa huyu mama wa hekima, natuliza boli!!
 
Kila la kheri kwa Bi Mkubwa wetu,Happy Birth Day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…