Happy birthday Mange Kimambi

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Happy birthday..
 

Attachments

  • 1394002063286.jpg
    38.4 KB · Views: 752
  • 1394002076277.jpg
    56.1 KB · Views: 711
binamu yangu samahani, niambie tu huyu ni nani anashughulika na nini katika kuchangia GDP ya tz....!

Ni mwanamke wa kawaida, sio mcheza filamu, mwanamuziki wala mwanamitindo, ni blogger tu ambaye alipata umaarufu badala ya kuanzisha mabifu na ma super star kama sintah,ray na kifo cha kanumba, shigongo na baadhi ya mastaa, alitumia blog yake kutukanana na mastaa wa fani mbalimbali apa bongo hatimaye na yeye akang'aa
 
Bado hajajifunguaaa tu,kwa mashauzi tu nataka nikachukue kozi kwake mie muke ya musukuma!!!!!!!
 
dah! wabongo bana halafu mnataka succes kama lupita nyongo kiukweli tutaendelea kuwa maskini mpaka mwisho eti mtu aliyefahamika kupitia blogs ya matusi na yule na mtangazaji wa radio katika kipindi cha harusi anataka kugombea ubunge!!!!!!!!!! na mimi nitatangaza nia.
 

Hivi Sintah ni supa staa??:help:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…