Asante bibi. Mchumba wangu babu hajambo?View attachment 947646
Happy Birthday to both of you RRONDO and Khantwe may God bless you with life of good health and happiness.
Let them make a wish!
Hajambo nimemchua na mafuta ya karafuu alfajir mgongo unamketea shida siku hizi.Asante bibi. Mchumba wangu babu hajambo?
Hajambo nimemchua na mafuta ya karafuu alfajir mgongo unamketea shida siku hizi.
Haha asante BeiraKher ya kuzaliwa kwao mzee WamaBMW na mkorea Wa kusin kwa bwana kim
Huyu nae kaka yangu, unampenda pia?Sikujua kama leo ni siku yako pia, naomba uniwie radhi. Natamani ningekuwa na uwezo wa kuedit heading!
Happy birthday kipenzi![emoji7]
Hongera Bwana @PRONDO na Bi. Khantwe kwa kuipunguza ile miaka dhiki na uchungu hapa duniani na kuikaribia ile ahadi ya maisha ya milele yenye raha isiyo na mfanowe.
Mungu awape ufahamu na maarifa ya kumjua yeye siku zote za maisha yenu hapa duniani.
Yupi sasa usiniambie unashindwa uchague yupiFamilia yenu yote nawapenda, hivyo nifanyie ule mpango tu[emoji85]
hadi mie pasua kichwa ?
Hehehe you are blushing[emoji8][emoji8][emoji8]
Eeeh yani wote mmekutana.....hadi mie pasua kichwa ?
mbona huna aibu
anyway thanks
Nimeelewa maana yake [emoji23][emoji23]Jina lake limefanyaje?[emoji23][emoji23]