Sasa si uniombe hata kwenye bd yako?! Tangu lini mtoto akapigwa mzinga?Yaani kukuomba ka wine tu, unaona nakupiga mzinga je, nikikuomba uninunulie kiwanja?[emoji848]
duh umeshindikanaNa mimi ya kwangu ni leo, kwa hiyo wote tu watoto. Haya naomba sasa[emoji6]
Ee nataka attention nipewe mimi tu sasa akitokea wa kugawana nae attention yenu I don't feel good at allHizi ndio juhudi zako ili ubaki peke yako?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee....hata bd yangu unanipiga mzinga?!!
Yaani kukuomba ka wine tu, unaona nakupiga mzinga je, nikikuomba uninunulie kiwanja?[emoji848]
Aisee, una roho nzuri sana (opoziti yake)[emoji57][emoji57][emoji57] Umefurahi nini sasa?
Sasa nimeelewa kwanini kila nikiwakaribia nduguzo wanifukuzia mbali
Asante. Anakijua wapi amekopi na kupesti ili atuimpress
Sema kweli au ni nanihii wakoMwulize Nleterewa Nganengo ananifahamu nje ndani[emoji6]
[emoji87][emoji87]yamekuwa hayo tenaMimi nakufahamu nje tu, huko ndani mwambie mwenyewe.