Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Thubutuu kizungu akijulie wapi, mwambie anirudishie diary yangu aliyoniibia.
[emoji2] [emoji2][emoji87][emoji87]yamekuwa hayo tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inamaana Thad hajui kizungu?Thubutuu kizungu akijulie wapi, mwambie anirudishie diary yangu aliyoniibia.
Mi mwenyewe nishamshtukia ila tutaenda nae sawa tuu ila nadhani anajua maana ya jina lako anatuzuga tuu[emoji2] [emoji2]
Huyu mtu ana janja nyingi sana za kukwepa maswali mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inamaana Thad hajui kizungu?
Au hii ni nguvu ya balimi?
Atajulia wapi mkuu, mimi mwenye jina mwenyewe nimesahau yeye atajuaje?Mi mwenyewe nishamshtukia ila tutaenda nae sawa tuu ila nadhani anajua maana ya jina lako anatuzuga tuu
nipo baby shem wangu....umenipotezea kule pmBaby shem upo??
Thanks brothers.Happy Birthday to you....RRONDO & Khantwe
Asante sanaHappy Birthday to You Majamaa.
Babe mbona unapotea sana lakini
Asante rafikiHappy Birthday to you....RRONDO & Khantwe
Asante rafiki
baby nipo...karibu posta mpya (pm)Babe mbona unapotea sana lakini
LIVE LONGThanks brothers.
UliniruhusuNaona hukomi
Hayababy nipo...karibu posta mpya (pm)