mi sio x mimi ndio mwenyeweMie nadhani ni huyu
Ndio nachokupendea hichoHivi una habari kuwa mchepuko haupaswi kuwa na wivu!! Kama mkewe sina wivu nimekuruhusu kula tu ila unibakishie, we wivu unatoka wapi?
atoto sikiliza hii nyimbo kwa niaba yangu kama huna nikutumie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mikono juu twende, say yeee yeeee
Mikono juu twende, tunaimba sasa[emoji441]
[emoji117]Kwanza kabisa ntanyonga Tai
T"shirt na Jeans ntatupa kidogo..
Unite Nasibu usiniite Dai
Asije kukuona muhuni akapandisha Mbogo...
Naukifika uagize Chai
Savanna Takila uzipe kisogo...
Kuhusu mavazi kimini haifai
Tupia pendeza ila za Hekima Logo...
--Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2
{Chorous}
[emoji117]Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone mama x2
{Verse 2}
Usilete swaga za Nainai
Ukanyoa kiduku kama Moze Iyobo..
Eti shoping twende Tai
wakati Dadaangu anaduka kigogo..
Ukikuta Nguna usikatae
we zuga unapenda hata kama wa Muhogo..
Kuhusu kabila mbona Sadai
Mama angu hana noma hata kama Mgogo
[emoji117]Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2
nenda kamwambie aaaahTena wimbo wenyewe nenda kamwambie
Sio ningie mori, nyota na mbalamwezinenda kamwambie atoto leo tufurahi kwanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]keki nzima nakula
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]?
Mi kiboko umri wangu unarudi nyuma
nakutumia usijaliHuu sitaki, nautaka wa 'ukimwona'
Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu mkuuMleta thread na mwenye birthday ne taam ya vijana wa Lumumba wanajuana nyuma ya ID buku 7 united.
Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tanguHuu sitaki, nautaka wa 'ukimwona'
tatizo mi bado, nilipoteleza nkakosa sipajuiHuu sitaki, nautaka wa 'ukimwona'
Nilimwambia Leo n birthday yako hajakuwish Bado?nasubiri zawadi tena umwambie na mafikizolo nataka zawadi zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiangalia avatar ya mo11 mdomo wake navuta picha muda huo wa party akipuliza mshumaa[emoji23] [emoji23]
Happy birthday jembe
Ungejua wewe Ndio mchepuko maana nilikuepo hata kabla yakoHivi una habari kuwa mchepuko haupaswi kuwa na wivu!! Kama mkewe sina wivu nimekuruhusu kula tu ila unibakishie, we wivu unatoka wapi?
Hihihiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Leo nakuacha na mamaa facebook, ukumbuke tu kurudi nyumbani.