Happy birthday mrembo NAKWEDE

Happy birthday mrembo NAKWEDE

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Umri sio miaka... Leo ni ile siku maalum sana ambapo mrembo bibie NAKWEDE kwa ushirikiano wa watu watatu aliletwa katika ulimwengu huu
Wa kwanza ni Mungu baba huyu alitia uhai na kuruhusu uumbwaji
Wa pili ni baba mzazi huyu aliandaa malighafi bora
Wa tatu ni mama mzazi huyu alihusika na kitunzio na kuhakikisha uumbaji wa Mungu kupitia malighafi bora za baba unatimia na kimpata binti mrembo kabisa aliyekamilika kila idara, mtu mwenye upendo wake NAKWEDE

Kwa nafasi hii adhimu napenda kusema HAPPY birthday NAKWEDE
Bila kuwasahau wote waliozaliwa siku ya leo
 
Umri sio miaka... Leo ni ile siku maalum sana ambapo mrembo bibie NAKWEDE kwa ushirikiano wa watu watatu aliletwa katika ulimwengu huu
Wa kwanza ni Mungu baba huyu alitia uhai na kuruhusu uumbwaji
Wa pili ni baba mzazi huyu aliandaa malighafi bora
Wa tatu ni mama mzazi huyu alihusika na kitunzio na kuhakikisha uumbaji wa Mungu kupitia malighafi bora za baba unatimia na kimpata binti mrembo kabisa aliyekamilika kila idara, mtu mwenye upendo wake NAKWEDE

Kwa nafasi hii adhimu napenda kusema HAPPY birthday NAKWEDE
Bila kuwasahau wote waliozaliwa siku ya leo
IMG-20220511-WA0004.jpg



Happy birthday kwa mtani wangu

Mungu aendee kumremba

Afu hii ya "ushirikiano wa watu wa tatu" afu mmoja wao ni Mungu imekaaje? Kwamba Mungu ni mtu?

Hivi wapare mkoje lakini?
 
Umri sio miaka... Leo ni ile siku maalum sana ambapo mrembo bibie NAKWEDE kwa ushirikiano wa watu watatu aliletwa katika ulimwengu huu
Wa kwanza ni Mungu baba huyu alitia uhai na kuruhusu uumbwaji
Wa pili ni baba mzazi huyu aliandaa malighafi bora
Wa tatu ni mama mzazi huyu alihusika na kitunzio na kuhakikisha uumbaji wa Mungu kupitia malighafi bora za baba unatimia na kimpata binti mrembo kabisa aliyekamilika kila idara, mtu mwenye upendo wake NAKWEDE

Kwa nafasi hii adhimu napenda kusema HAPPY birthday NAKWEDE
Bila kuwasahau wote waliozaliwa siku ya leo
Tuwekee picha yake basi mchawi wetu
 
Mungu akasema NA TUUMBE MTU KWA MFANO WETU.. Mchaga gani weye usiyejua maandiko

Mmhh mkuu tafsiri yako kama chaka hivi.mfano nikisema mshana kanunua gari la mfano wake hapa mtaani unapata picha gani??hapo maana ni mbili na maana ya kwanza umenunua gari linalofanana na wewe( kwa maana gari la mziki mkubwa na gharama kwa kuwa ni vitu upendavyo na unaendana navyo) ila maana ya pili (ambayo ndiyo inatuchanganya tulio wengi )ni kuwa umenunua gari la kipekee mtaani na hakuna mwingine mwenye gari kama hilo.kwa maana pia Mungu alituumba sisi binadamu ni wa kipekee kwa maarifa na utashi kuliko kiumbe kingine ambacho hakina mfano mwingine.wajuzi waje kuongezea nyama
 
Back
Top Bottom