Happy Birthday Msanii🌷🌼🌻, lakini unanikera aisee

Happy Birthday Msanii🌷🌼🌻, lakini unanikera aisee

Enjoy your day, kama timu yako ni Yanga basi tushinde goli 2 kama tarehe yako ya kuzaliwa.

Kama ni Simba basi mfungwe 2 🤣🤣🤣
Kutembea na msuli bila nguo ndani ni mashokolo mageni walah?
Nawaombea watani Yanga washinde.

Naiombea Simba ishinde hadi iboe
 
Happy birthday kwako (kwangu) Msanii
Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa wachache na shubiri kwa wengi.

Ombi lako (as birthday wish) kwa uongozi wa JamiiForums kwamba ikitokea ukachomoka ulimwengu huu basi Moderator s waweke full credencials zako ili wananzengo wafahamu huyu bwege msanii alikuwa nani haswa. Nimelifikisha hapa

UNAKERA
Kero yangu kwako ni huu utamaduni wako wa kusahau sahau kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa.
Yaani leo almanusura siku ipite bila kukumbuka, mshukuru sana binti yako na mama yake waliokusanua mchana ukiwa kazini kuwa umezaliwa leo.

Nimekuhoji sababu za kutotilia maanani birtdays zako, ukanijibu kifedhuli kuwa kila kiumbe kina mwanzo na mwisho lakini habari ya kusheherekea ni kujipongeza kwa mafanikio na siyo mwanzo wa siku. Unadai kuwa misemo ya wahenga kuwa mchumia juani hulia kivulini imezingatia mzunguko wote wa maisha. Huwezi kusheherekea siku ya kupanda shamba bali unasheherekea mavuno. Dah

Nakusihi uache kuboa maana leo najua unaweza kuiputisha wima wima. Nunua keki hata ya mkono mmoja ukasheherekee na familia yako home. Punguza uzwazwa mkuu.

Enjoy soulmate


Depal Mshana Jr Demi Deborah9007 Bujibuji Simba Nyamaume Maxence Melo raraa reree Gwappo Mwakatobe Na hili mkalitizame johnthebaddest GENTAMYCINE Mpwayungu Village Nifah Ritz SAGAI GALGANO Papa Mopao mtuchake Nyani Ngabu Pascal Mayalla Extrovert figganigga hermanthegreat Robert Heriel Mtibeli
HBD MZEE
 
Happy birthday, Mwenyekiti , uishi maisha mema, wewe si moderators tu hata sie wengine tutaandika TANZIA na ukawa UZI wa kwanza JF kwa Sie wengine ,

Navuka maji nakuja PWEZA RESORT utakua wapi tugonge Glasses kdg
 
Happy birthday kwako (kwangu) Msanii
Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa wachache na shubiri kwa wengi.

Ombi lako (as birthday wish) kwa uongozi wa JamiiForums kwamba ikitokea ukachomoka ulimwengu huu basi Moderator s waweke full credencials zako ili wananzengo wafahamu huyu bwege msanii alikuwa nani haswa. Nimelifikisha hapa

UNAKERA
Kero yangu kwako ni huu utamaduni wako wa kusahau sahau kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa.
Yaani leo almanusura siku ipite bila kukumbuka, mshukuru sana binti yako na mama yake waliokusanua mchana ukiwa kazini kuwa umezaliwa leo.

Nimekuhoji sababu za kutotilia maanani birtdays zako, ukanijibu kifedhuli kuwa kila kiumbe kina mwanzo na mwisho lakini habari ya kusheherekea ni kujipongeza kwa mafanikio na siyo mwanzo wa siku. Unadai kuwa misemo ya wahenga kuwa mchumia juani hulia kivulini imezingatia mzunguko wote wa maisha. Huwezi kusheherekea siku ya kupanda shamba bali unasheherekea mavuno. Dah

Nakusihi uache kuboa maana leo najua unaweza kuiputisha wima wima. Nunua keki hata ya mkono mmoja ukasheherekee na familia yako home. Punguza uzwazwa mkuu.

Enjoy soulmate


Depal Mshana Jr Demi Deborah9007 Bujibuji Simba Nyamaume Maxence Melo raraa reree Gwappo Mwakatobe Na hili mkalitizame johnthebaddest GENTAMYCINE Mpwayungu Village Nifah Ritz SAGAI GALGANO Papa Mopao mtuchake Nyani Ngabu Pascal Mayalla Extrovert figganigga hermanthegreat Robert Heriel Mtibeli
Happy birthday to you brother
 
Happy birthday chief,tumezaliwa siku moja,ila mimi sijawahi kusherehekea siku yangu ya kuzaliwa,maana sijawahi injoi kuja kwangu duniani,toka mdogo nilipoanza kijitambua,ni mateso tu,ya akili na mwili.Sijui kama ntakuja kusherehekea,may be ntamaliza miaka yangu ya hapa duniani hivihivi au kwa mateso zaidi ya niliyopitia na ninayopitia.God's blessings be upon you and your descendants.
 
Heri ya kuzaliwa msanii, uendelee kuwa na busara hivyo hivyo.

Swali: hivi huwa unakasirika kweli? Ishi sana tajiri huna baya 🤣 (kwa sauti ya chawa)
 
Back
Top Bottom