Niamini tu maana naona kabisa mbuzi kafia kwa Muuza supu.... tehteehhh, kule nipo kwa Ile I'd nyingine ambayo haijulikani....Mmmh! Sikuamini maana sijakuona kabisa kule kwenye uzi wa kispanyola, isijekuwa unaniambia kindengereko bure [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Sijambo swahibaNakusabahi swahiba yangu! Kichwa Kichafu na jje's hawajambo? [emoji12][emoji12][emoji12]
Duhhh.....!!!Mmh,.basi subiri hii ipite kwanzaa[emoji14][emoji14]
Aaaah ushiiii[emoji23][emoji23][emoji23]vibaya hivyoo kila MTU si na siku yake lakiniiDuhhh.....!!!
Watu tusio na bahati humu Jf tunaishi maisha magumu sana, maana kila kukicha motion yote huteleza tu wallah....
Basi jibu tu hata PM yangu, kisha roho yangu itapona....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Aaaah ushiiii[emoji23][emoji23][emoji23]vibaya hivyoo kila MTU si na siku yake lakinii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aminaaaBasi jibu tu hata PM yangu, kisha roho yangu itapona....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
sawaUkijibiwa uje uninong'oneze
[emoji23][emoji28][emoji23] hahaha bebe usijali yako ni special zaidi, hiyo ni ya kiugumu ugumu tu.Bebi hii birthday wish nimeipendajeee,mpaka nimepata donge[emoji39][emoji39]
Mmhh,naona kuchelewa kufika sijui nitapewa ya kiitaliano au ya wapi huko mbalimbali..mwe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji28][emoji23] hahaha bebe usijali yako ni special zaidi, hiyo ni ya kiugumu ugumu tu.
mm nataka cake ya mtoto [emoji41][emoji41]nipp dada maandaliz bas ili wana jf wajongee tupate nao chochote baadae
Huyu ndugu kumbe kazaliwa leo?
....ya kisukuma tu au kigogo babe [emoji41][emoji41][emoji41]Mmhh,naona kuchelewa kufika sijui nitapewa ya kiitaliano au ya wapi huko mbalimbali..mwe[emoji1][emoji1][emoji1]
Akuuu[emoji41]nataka ya kidhungu na mm[emoji19][emoji19]....ya kisukuma tu au kigogo babe [emoji41][emoji41][emoji41]
Aiseee hapa nimetengwahappy birthday mdogo wangu wa damu rafiki angu kipenzi udug wetu mim na dad hajar ALLAH akupe maisha marefu yatakayompendezea Mola wetu karibun wana jf woteeeeee leo tumeandaaa swadak kidog kwa ajili ya ndugu yetu huyu mahala pa sawadak atalika dada hajar cc hajar njoo utoe mualiko huku
[emoji23][emoji28][emoji23]Akuuu[emoji41]nataka ya kidhungu na mm[emoji19][emoji19]
Happy b/day
Yes babeee wangu,.[emoji8][emoji8][emoji8][emoji23][emoji28][emoji23]
haya babe ake Miller
hujatengwa twaona umejitenga vikao nyumban hatukuoni na salam zako nilimpa mwifwa akupe labd alijisahauAiseee hapa nimetengwa
karibu ila hajar ndo atakuja na ratiba yote ya shughul itakapokuwa mngoje aje tumm nataka cake ya mtoto [emoji41][emoji41]