Mbona haji tumuoneNdo nipo namuimbia huu wimbo kanalia tu..๐
View attachment 2006556
Heheee basi salamu nyingi zimfikie kama ananisoma hapaHa ha! ikifika muda wa kumuweka hadharani nitafanya hivyo kwasasa acha nitulize maini ila jua anakutazama..๐
Kwa uzoefu wako, nini kifanyike ili awe na stable relationshipAna experience ya kutosha ila hakomi tu shauri yake
Ha ha! Financial services Dua la kuku halimpati mwewe!.Hujakoma tu, umeamua kupenda tena, usije kulia lia humu , utadundwa๐. Happy birthday to her ๐พ๐
Ahsante kwa kumtakia heri ila swala la kulia au kutokulia ni mtambuka na inategemea umeachajwe!,ukiachwa Kama umeme wa tanesco unavyokatikaga swala la kulia ni muhimu..๐Happy birthday bebe ya kenzy
Ila ukiachwa usilie lie ufe kiume
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Kwa uzoefu wako, nini kifanyike ili awe na stable relationship