Happy birthday my lovie!

Happy birthday my lovie!

Ila mkuu si ni ww ulikuwa walia lia tu juzi huku kuwa yamekukuta.... Hicho kiherehere cha kupenda haraka ivyo na kumuwish Baby wako HBD kwa kufungua uzi kbsa umeukitoa wapi? Tupunguze SHOBO na mapenzi etii hahaha


Au Fanya ivii nipe namba zake Nimuwishi na kumtumia zawadi yake kweny Tigo Pesa
 
Ila mkuu si ni ww ulikuwa walia lia tu juzi huku kuwa yamekukuta.... Hicho kiherehere cha kupenda haraka ivyo na kumuwish Baby wako HBD kwa kufungua uzi kbsa umeukitoa wapi? Tupunguze SHOBO na mapenzi etii hahaha


Au Fanya ivii nipe namba zake Nimuwishi na kumtumia zawadi yake kweny Tigo Pesa
Elewa tu mimi sio chaputa hivyo lazima niwe na mpenzi hayo mengine ya kulialia ni viungo tu ktk chai.
 
Back
Top Bottom