Simjui ni moderator?Leo humjui mshana wako duh! Unajua kukana we dada upo vizuri..๐
Niweke ๐ฌ zako hapa?? Na picha za shela na peteNaona tule tumzimu twako tumeanza kukupanda! Labda shela la majani ya mihogo..๐คฃ
๐๐๐๐Mtu kutoka kuwa mganga mpk kuwa moderate mh!
Asante babu mchoyo๐Ahsante Bibi mchoyo..
Kila la kheri mkuuUtasubiri sana
Mtaachana tu