Happy birthday Mzee Jakaya Kikwete

Happy birthday Mzee Jakaya Kikwete

Bususwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
468
Reaction score
1,116
1665125626174.png

Leo 07.10.2022 Mzee Jakaya Kikwete Rais mstaafu wa awamu ya Nne Nchini Tanzania anatimiza miaka 72!

Je, unakumbuka yapi toka kwenye uongozi wake? Tumtakie maisha mema na yenye baraka tele!
 
Nakumbuka enzi zake walimu walijaribu kupima kina cha maji jibu likatoka "Akili za kuambiwa changanya na za kwako"
Ile awamu nilishika hela sio mchezo milioni kwangu ilikuwa kama elfu 10. Nikiingia bar watu wote wanasimama tulikula mema ya nchi.
Mwenyezi Mungu akujalie uzee mwema.
 
Na ile kauli yake pendwa "ukitaka kula lazima ukubali kuliwa, sasa unataka tu kula bila kuliwa? HAIWEZEKANI"

Ilikua kauli kuntu sana na ukiitafakari ina mashiko.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Happy 72nd Birthday Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
mmexport1665119101157.jpg


4th Phase President of the United Republic of Tanzania, Settlor and Chairman of JMKF
 
Prezidaa Wa ukweli ishi miaka tele mkuu enzi zako mpunga ulikuwepo
 
Ikawe heri kwa mzee Jakaya katika kumbukizi ya siku hii ya kuzaliwa
 
Dhamana ya uongozi haikufanyi wewe uwe ni mtu zaidi ya raia wengine wowote waliopo pale. Haikufanyi wewe uwe na haki zaidi kuliko mtu mwingine ambaye si kiongozi. Anao wajibu wake wa uongozi kwako na wewe unao wajibu wako kwa kiongozi wako," alisema Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.

Kikwete aliongeza kwa kusema, "Na hili ni jambo kubwa kwa viongozi kutambua kwamba kujishusha hakukufanyi usiwe kiongozi. Kujimwambafai (kujifanya mwamba) hivi wala hakukufanyi uwe kiongozi zaidi. Una wakati wa kutekeleza majukumu yako lakini unapokuwa na binadamu wenzako ni wanadamu kama wewe.

Happy birthday mwasiasa uliekuja kitofauti zama zako.
 
Back
Top Bottom