Happy birthday Mzigua90

Happy birthday Mzigua90

Hbday mkwe wangu!nakupenda haswaa my dear!uzidi kubarikiwa kila wa Leo my dear!mtu mwenye shape lake mjini!!!

Ila mkwe punguza ujanja ujanja[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahahaaa. Mwenye shape Sanchoka mkwe. Ujanja ujanja gani tena mkwe?? Utaniharibia kwa mchumba angu humu mkwe
 
Thank you wakunyumba wangu. Jana nlitaka nikualike karaoke 777 ila ndo vile mambo yakawa ndivyo sivyo. Nakupenda pia ndugu yangu.
P.S. zawadi za hela zinifikie
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Happy bday mama lamama,toto la kizigua,mkali wao,mama wa gambe,bae no 1(nafikiria kuiupgrade[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ), uishi miaka michache yenye furaha,amani na upendo..miaka mingi ni kutesana tu

Happy bday my dia
 
Back
Top Bottom