Happy birthday Noela William Malecela

Happy birthday Noela William Malecela

Status
Not open for further replies.
nasay%2B1.jpg

The King Of All Bongo Social Media Network Le Big Show hanging out with my baby Super Model Nasy live at her Birthday Party downtown Biltz Club!!














Mama mzaa chema na anayejitambua na mwenye uchungu na watoto wakeView attachment 319501

- hahahahahahahahahaha U know

le Mutuz
 
Binti pekee wa baba swalehe ametimiza miaka 16 lakini baba swalehe ndio hivyo tena hata hajali yeye yuko busy tu na upambe tu kwa wanaume wenye pesa na kuomba omba kupiga picha na mademu clubs na kupost utumbo instagram, cheki hapo mtoto anadai zawadi ya gari na mama hapo anawaambia ndugu zake wafanye maarifa ya zawadi yani inamaanisha yule baba swalehe wameshamsahau wanamuachia tu aadhirike hadi afe na pressyre kwenye club na vijitoto kama mwanawe haha,baba swalehe tunaomba ujitambue mwaka huu unatimiza 59yrs yani umempita hata magufuli,membe yani hapo nakaribiana na Lowassa lakini bado unajiona umri wako kama dogo Asley jamani khaa pole shauri yako.
Baba Salehe (59 yrs) = kijana Le Mutuz?
 
Binti pekee wa baba swalehe ametimiza miaka 16 lakini baba swalehe ndio hivyo tena hata hajali yeye yuko busy tu na upambe tu kwa wanaume wenye pesa na kuomba omba kupiga picha na mademu clubs na kupost utumbo instagram, cheki hapo mtoto anadai zawadi ya gari na mama hapo anawaambia ndugu zake wafanye maarifa ya zawadi yani inamaanisha yule baba swalehe wameshamsahau wanamuachia tu aadhirike hadi afe na pressyre kwenye club na vijitoto kama mwanawe haha,baba swalehe tunaomba ujitambue mwaka huu unatimiza 59yrs yani umempita hata magufuli,membe yani hapo nakaribiana na Lowassa lakini bado unajiona umri wako kama dogo Asley jamani khaa pole shauri yako.

- hahahahaha maumivu ya kuachwa miaka 5 after bado unalia lia kwenye mitandao, unanipa nguvu ya kuamini sikukosea pole sana ila mimi naendelea na maisha kama kawa kama unavyonisoma kwenye Social Media, hahahahahaha pole sana I hope Wadada wanajifunza hapa kutoka kwako kwamba ni makosa kuchezea a good man like me maana haijawahi kutokea Mwanamke umemuwacha miaka 5 lakini hakubali tu analia lia kila mahali, wadanganye wajinga wenzako kwamba wewe ni mwanaume sijui nani, wewe unajua kwamba nakujua ni Neema Ngwilulupi, nilishakusahau unahangaika bure umemuona my baby jipime kama unaingia hata robo hahahahahaha pole sana muombe Mungu atakusaidia upate mume tena hahahahahahah

le Mutuz
 
Baba Salehe (59 yrs) = kijana Le Mutuz?

- Kwanza nilikuwa na miaka 61, nikawa 54, nikawa 51, nikawa 55, leo nimekuwa 59 hahahahahaha hebu kubalinaneni nina miaka mingapi? hahahahahapoleni sana hapani kazi tu maisha yanaenda mbele siangalii nyuma, soon to Dubai for Emirates Airlines nikirudi Lagos, hahahahaha I love it!!

le Big Show
 
- Kwanza nilikuwa na miaka 61, nikawa 54, nikawa 51, nikawa 55, leo nimekuwa 59 hahahahahaha hebu kubalinaneni nina miaka mingapi? hahahahahapoleni sana hapani kazi tu maisha yanaenda mbele siangalii nyuma, soon to Dubai for Emirates Airlines nikirudi Lagos, hahahahaha I love it!!

le Big Show
Pole sana ndugu. Hili sakata lenu ni somo kubwa sana kwangu ambaye sijaoa. Mungu akutangulie.
 
Babu nyemtumbo baba swalehe wacha kupagawa bwana,hapa uliambiwa issue ya birthday ya mtoto na yeye kutaka zawadi ya gari lakini baba hata zawadi ya kumu wish tu na hata kadi sio lazima ya kumpa iPhone 6 kama ulivyomzawadia nasra on her birthday, huyo mama noela wala hakutaji maskini na ameshamove on na maisha yake ni wewe tu utoto wako yani kweli kuachwa kunauma,mimi sio neema acha propaganda zako kwani sio kila mtu anayekujua wrwe kiundani ni mama watoto wako hebu pls grow up baba swalehe.
 
Hebu weka na hizi hapa uangalie jinsi ulivyozeeka hadi unaxheza na vitoto kama mwanao noela jamani dha baba swale umezidi sasa
Screenshot_2016-01-28-15-05-55-1.png
Screenshot_2016-01-28-15-06-10-1.png
Screenshot_2016-01-28-15-06-31-1.png
 
Babu nyemtumbo baba swalehe wacha kupagawa bwana,hapa uliambiwa issue ya birthday ya mtoto na yeye kutaka zawadi ya gari lakini baba hata zawadi ya kumu wish tu na hata kadi sio lazima ya kumpa iPhone 6 kama ulivyomzawadia nasra on her birthday, huyo mama noela wala hakutaji maskini na ameshamove on na maisha yake ni wewe tu utoto wako yani kweli kuachwa kunauma,mimi sio neema acha propaganda zako kwani sio kila mtu anayekujua wrwe kiundani ni mama watoto wako hebu pls grow up baba swalehe.
Kama wewe sio mkewe kinachokuuma ni nini? Umesema tayari mkewe kashaendelea na maisha yake sasa wewe wa pembeni kuna haja gani ya kumdhalilisha lemutuz mitandaoni? Wakati mwingine epuka dhambi zisizo za lazima... pia ni utoto kulazimisha mtu atoe zawadi unayoitaka badala ya mtoa zawadi kutoa atakavyoona inafaa. Nikutahadharishe tu, jiandae kupambana na Noela huko mbeleni kwa hivi vitendo vya kumdhalilisha baba yake.
 
Babu nyemtumbo baba swalehe wacha kupagawa bwana,hapa uliambiwa issue ya birthday ya mtoto na yeye kutaka zawadi ya gari lakini baba hata zawadi ya kumu wish tu na hata kadi sio lazima ya kumpa iPhone 6 kama ulivyomzawadia nasra on her birthday, huyo mama noela wala hakutaji maskini na ameshamove on na maisha yake ni wewe tu utoto wako yani kweli kuachwa kunauma,mimi sio neema acha propaganda zako kwani sio kila mtu anayekujua wrwe kiundani ni mama watoto wako hebu pls grow up baba swalehe.

- Kila unapoakimbilia Social Media unanipa amani sana kwamba sikukosea kumkatalia Davis Mosha ulipomuomba sana nikurudie, pole sana ulidhani ni rahisi kupata Mwanaume serious na maisha kama mimi? pole sana ila I hope wengine hapa wanajifunza na ujinga wako sasa unadhani Social Media itakusaidia kunirudisha kwako? hahahahahahahahah pole ana wewe ni NEEMA NGWILULUPI wadanganye wengine sio mimi!!

le Mutuz
 
Kama wewe sio mkewe kinachokuuma ni nini? Umesema tayari mkewe kashaendelea na maisha yake sasa wewe wa pembeni kuna haja gani ya kumdhalilisha lemutuz mitandaoni? Wakati mwingine epuka dhambi zisizo za lazima... pia ni utoto kulazimisha mtu atoe zawadi unayoitaka badala ya mtoa zawadi kutoa atakavyoona inafaa. Nikutahadharishe tu, jiandae kupambana na Noela huko mbeleni kwa hivi vitendo vya kumdhalilisha baba yake.

- Mkuu please usimpe kichwa mjinga huyu anajidhalilisha mwenyewe, kwanza alianza kupigia pigia simu mabebezz wangu kakwama, akaanza kuandika kwenye Facebook, baadaye akahamia hapa sasa anawatumia marafiki zake Instagram bado kakwama hahahaha Neema pole sana unajidhalilisha mwenyewe mimi huniwezi ni too big for your small mind, ungekua na akili usinge hangaika humu kwenye mitandao hahaha

le Mutuz
 
Hebu weka na hizi hapa uangalie jinsi ulivyozeeka hadi unaxheza na vitoto kama mwanao noela jamani dha baba swale umezidi sasaView attachment 319771 View attachment 319773 View attachment 319775




- hahahahaha aliyezeeka anajulikana hahahahahahah unanivunja mbavu ona hapa ni office nikitoka hapa kwenye batazzzz hahahahahahahah wewe fuatilia kwenye Social Media mpaka utakoma mimi nakula batazzz and I am living my life hahahahahah

le Mutuz
 
- Kwanza nilikuwa na miaka 61, nikawa 54, nikawa 51, nikawa 55, leo nimekuwa 59 hahahahahaha hebu kubalinaneni nina miaka mingapi? hahahahahapoleni sana hapani kazi tu maisha yanaenda mbele siangalii nyuma, soon to Dubai for Emirates Airlines nikirudi Lagos, hahahahaha I love it!!

le Big Show
Bilionea anayelipiwa ticket ya kuruka na ndege kwenda dubai!

Haya nimaajabu ya karne!
 
Naona lemutuz unatuletea picha za uchi huku Jf unazopiga na makahaba wako hukoo meeda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom