Happy Birthday P Funky Majani

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Ndo producer aliyetengeneza hits kibao hapa bongo kwenye huu muziki wetu! Leo anatimiza miaka mingi hivi!! Kama Wewe mpenzi wa huu muziki wetu, katika miaka yote aliyoishi studio,ni biti gani aliitendea haki zaidi?

Kwangu mimi ni Mkasi ya Mangwair!

HBD mtoto wa kidachi, kinywele kimoko, mikono ya mungu, Godfather, Khalfan..

Okoa muda mwite P!
 
Happy Birthday baba Paula,

wakati nasoma thread song ilokuwa kwenye mind ni MIKASI

halafu nikakuta ushaiandika
 
Biti la "a.k.a Mimi" ya Ngwair.....
 
Mikasi ni bonge ya beat ila tng bongo.com P alienda beyond the line
 
Heshima kwake Majani. Nadhani ali-kamua sana ngoma ya GWM na Nature.
 
Happy Birthday P

beat kali Nampenda yeye - Mh. Temba.
 
Daaaaaah jamaa kazitendea haki kuzitengeleza ata art,wenye awakumuangusha biti Kali kwangu ni mitungi,mikasi
 
HBD Majani
Mikasi ni kali hadi leo
 
Nyimbo zote kali, katengeneza P!

Nyimbo zote alizotengeneza P kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…