Happy Birthday Sakayo.

Yaani dadangu mwenyewe nimeishiwa maneno.....

Namshukuru Mungu kwa kweeli kumpata mwanaume wa kipekee
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Wapii mamaaaa lee ....pedesheeee wenyeweee kwa mbaliii wanaingiaaaa....

Dj wekaaa kwaitooooo pedesheeee na wakeee wanaingiaaaa mc huyo bhinamu.

(Kwaito )apo dj anaipiga haswa tunaachiwa uwanjaa ...hiyo siku ya harus sipat pichaa
 
Wapii mamaaaa lee ....pedesheeee wenyeweee kwa mbaliii wanaingiaaaa....

Dj wekaaa kwaitooooo pedesheeee na wakeee wanaingiaaaa mc huyo bhinamu.

(Kwaito )apo dj anaipiga haswa tunaachiwa uwanjaa ...hiyo siku ya harus sipat pichaa
Hhaha hivi si ulisema utawawekea kisingeli au umesahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…