Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
AsanteNakupenda sana tu my dada.
Yani umewaita hao warembo wangu.hizi habari mpya kwangu inna na relato ebu njoeni msikie ivuga we si kama kaka yangu lini ulinitongoza
me pia unanipendaHappy birthday kipenzi. Nakupenda sana dada. Najua ulikuwa hujui kuwa nakupendaa
[emoji2] [emoji2]Kiuhalisia Transcend ndo mume wangu halali nje ya jf, tuna watoto tayari na wa kwanza aitwa D....
Ni wish basi happy birthday bhana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bday gal kibokooooUtaelewa tu
Hebu ni wish basi happy birthday bhana
Ahhhhh.From the distance kwa niaba yangu mimi na shunie namtakia dada yangu Mrs T happy birthday!
Asante kaka....From the distance kwa niaba yangu mimi na shunie namtakia dada yangu Mrs T happy birthday!
Ndugu upo!Afu shunie mbona nakutongoza afu hujibuuu?
Nakuonaa nakuonaaaYani umewaita hao warembo wangu.
Mimi sikumaanisha nakutongoza.
Ni typing error si unajua hizi smart phone.
Nilikuwa nataka kusema nakupongeza
Hahahame pia unanipenda
Wataelewa tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] bday gal kibokoooo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hahahhh nakugawaWataelewa tuu
hivi alinijibuHahaha
Lazima akupende, kama hakupendi na mie asinipende tuu
Milele AminaNdugu upo!
Tumsifu yesu kristo
Haha.
huyo ni kaka yetuAhhhhh.
Wewe jamaa ndio una ride hii kitu makini shunie?
Sitaki kuamini aisee
unanipongeza kwa nini labdaYani umewaita hao warembo wangu.
Mimi sikumaanisha nakutongoza.
Ni typing error si unajua hizi smart phone.
Nilikuwa nataka kusema nakupongeza