Happy Birthday Sakayo.

Happy Birthday Sakayo.

Mbina kama namuona kijana wangu Daby kanitag afu post siioni tena?
Ila kama upo heshima yako ndugu yangu.
Ukiona kimya ujue sijakutupa.
Ila ni rasmi kuwa nimeshaamua kuwa kama mzee Suleimani mzee mwenye hekima.
Katika pita pita zako ukikutana na relato au Inna uwaogope kama ukoma.
Hao mabinti wazuri kupita mabinti wote wa hapa duniani ndio mashemeji zako.
 
Mbina kama namuona kijana wangu Daby kanitag afu post siioni tena?
Ila kama upo heshima yako ndugu yangu.
Ukiona kimya ujue sijakutupa.
Ila ni rasmi kuwa nimeshaamua kuwa kama mzee Suleimani mzee mwenye hekima.
Katika pita pita zako ukikutana na relato au Inna uwaogope kama ukoma
Haha.
Yaani hauoni post yangu ila unaona za watoto wa kike? Hahaha. Au hii teknolojia inabagua.
 
Back
Top Bottom