Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Thanks ShululuHappy birthday [emoji512] sakayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks ShululuHappy birthday [emoji512] sakayo
he he kuisimamisha lazima si kwa uzee huu unaokuja haraka ujue naziona mvi kichwani mwako usije ukaniambia ni za ukoo na wakati umri umeendaAsante mdogo wangu wa dar, mke halali wa Lee....
Tunambatiza kwanza D ndo kwaito jamani....
Penda wewe sana mdogo wangu.... Hivi si tulisema tuisimamishe jamani
Hahahahe he kuisimamisha lazima si kwa uzee huu unaokuja haraka ujue naziona mvi kichwani mwako usije ukaniambia ni za ukoo na wakati umri umeenda
Thanks friendHappy birthday lady
hivi umekuaje lakiniHahaha
Umesahau hizi Mvi ni za utajiri bhana..... Halafu mpaka saivi Sijaona keki, nimetoka church [emoji547] nikikimbia kweli nikijua nakuta keki
Vipi tenahivi umekuaje lakini
hakuna cake chuma maboga shambani dada uchemsheVipi tena
JF bwana, sakayo kiuhalisia ni mke wa mtu. Ila hapa jf ni mke wa mtu mwingine.Happy born day Sakayo wa T
Nimefikiria sana maneno mazuri ya kuanza kuandika ujumbe huu wa kukutakia heri ya za siku hii muhimu kwako..
I ’m so lucky that I have such a beautiful and precious relationship with you..! You are the gift that completes my life..the woman that makes me the man i wanted to be..
It's nice feelings when you someone loves you but feels much better when you know that someone never ever forgets your birthday..
Mungu akupe maisha marefu ya yenye furaha...niendelee kuona lile tabasamu lako kila siku ijayo kwa Mungu..
I am speechless...! No more words to express the feeling i have.. you will always be my happness..
![]()
![]()
Happy born day Sakayo wa Transcend.
Happy born day my beautiful
Happy born day to this lovely woman
Happy born day to jaan! My sweetie! My lovie..
Hahahahakuna cake chuma maboga shambani dada uchemshe
Kiuhalisia Transcend ndo mume wangu halali nje ya jf, tuna watoto tayari na wa kwanza aitwa D....JF bwana, sakayo kiuhalisia ni mke wa mtu. Ila hapa jf ni mke wa mtu mwingine.
Kidume trans umetumia muda wako nguvu zako kumtungia mke wa mtu mashairi(nimewanza nje ya box kama kigwangwala)
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahaha
We ni changamoto, hivi kweeeli mdogo wangu umefikia hukooo
Afu shunie mbona nakutongoza afu hujibuuu?hakuna cake chuma maboga shambani dada uchemshe
hizi habari mpya kwangu inna na relato ebu njoeni msikie ivuga we si kama kaka yangu lini ulinitongozaAfu shunie mbona nakutongoza afu hujibuuu?
Asante kaka angu wa Jf, leo ndo umesema wanipenda nilikuwa sijui kwa kweeliHappy birthday kipenzi. Nakupenda sana dada. Najua ulikuwa hujui kuwa nakupendaa
Utaelewa tuSijaelewa haya mambo ya JF sometimes ni confusion tu
Unaenda wapi labda[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nakupenda sana tu my dada.Asante kaka angu wa Jf, leo ndo umesema wanipenda nilikuwa sijui kwa kweeli