Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Me nilishasema nyuzi zake siingii kuna nilicomment tu kawaida kuwa kuwa huh uzi naudharau kuingia kumbe una mambo hivi nikaja kuquotiwa eti nina wivu jaman
Na nahisi hiyo comment ilikuwa ndeeefu na miherufi mikubwa. Huwa nazipuuza nyuzi zake ila unakuta umeitwa inabidi urespond. Wengi wameshamdharau kama yeye anavyodharau watu.
 
Na nahisi hiyo comment ilikuwa ndeeefu na miherufi mikubwa. Huwa nazipuuza nyuzi zake ila unakuta umeitwa inabidi urespond. Wengi wameshamdharau kama yeye anavyodharau watu.
Ahahahh ila yule mtu hapana jamaan bora tu nikufwe na utamu wangu kuliko kuwa na mpenzi sampuli ile
 
Sakayo wangu [emoji8][emoji8][emoji8] niseme ninii mimi asante jf kwa kunipa rafiki mwema kwangu nakupenda zaidi ya jana na hata milele Yesu wetu azidi kukulinda na kukuweka [emoji120] mbona uzee umeshafika
Happy womb escape mama la mama.

One of my best friends ! Toka enzi zile unipokee kule jukwaani..[emoji3]

Pili, ukamleta Dada...huku na huku tukawa ndugu. Asante kwa kwa yote Shunie.

Mungu akupe maisha marefu na yenye furaha.

Nilikuwa porini kidogo , ila nikija mjini nakuja na Zawadi.
 
Ameen baba paroko tunamiss uwepo wako jaman
Asprin nilimpa jukumu la kuendeleza kuchunga kondoo wasipotee, kazi niliyompa naona inamshinda, ngoja nirudi kushika kijiti.....missing you guys alot, dada sakayo atakuletea keki nimempa hela nimechangia
 
Asante sana T wa dada [emoji120][emoji7] ubarikiwe sana nawapenda sasa hiyo zawadi kwa nini isiwe mpesa jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…