Umeingilia mlango wa uani nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kupo wazi ebu angalia vizuri
ππππ sijafukua eti, nimelikuta tu lipo wazi lenyewe sijui nani kalifukua, mi nimelichungulia tu likiwa wazi my princess.Aimen aimennn!!
Ulikuwa unafukua makaburiii ya nini eti jamani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijafukua eti, nimelikuta tu lipo wazi lenyewe sijui nani kalifukua, mi nimelichungulia tu likiwa wazi my princess.
Ila kiukweli uko na mantic, mpangilio na mtiririko mzuri sana kwenye uandishi wako[emoji122][emoji122][emoji122] au uliwai pitia lile darasa la art of creative writing.
Morning.
Kweli nakwambia upo vizuri sana na uhakika ndio ina reflect what you have in mind.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kunisifia uongo aki my dear!!!
Morning my dear!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli nakwambia upo vizuri sana na uhakika ndio ina reflect what you have in mind.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kushukuru.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha nishukuru tuu jamani [emoji120][emoji120][emoji120]
ππππππππKaribu tena