Yaan nalia mm sijui machozi ya furaha sijui ya nini jamani sikutegemea kukutana na hayaAtuweke sote kipenzi!
Mimi kila nikikumbuka wema wako kwangu nalia! Nawaza kama usingekuwepo ningekuwa namlilia nani mimi!
Ila kuna wakati anakuwaga mkali, sema tuu ushakuwa ndugu yangu jamanii! Love you
Jamani jamaniiMmempaka kazi Mello
Enjoy yo day kiboko yangu!Asante babe, asante kiboko yangu, asante cha ukorofi wangu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Leo mmeniweza
Asante sana mkuu na tuseme AmeenDah... Happy birthday Shunie... Ubarikiwe Sana...uishi miaka zaidi ya Mia...upate watoto majembe Mia...uwe na furaha na amani[emoji41]
Karibu tenasawa dada sakayo
Thanks kijana mtata hivi niolewe mara ngapiii au unataka niolewe mara ya piliHappy born day..miss...
Uolewe sasa
Marhaba mdogo wangu umeamkajeTunaikula apo apo dada!
Shkamoo kwanza!
Asanteeee [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Ameolewa tayari
NifanyajeKaribu tena
Hahaha hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] Kwendaa
Hahhahahhahah ebu niulizie nimefanyajeHuyo huyo Orange.... Au unamjua mwingineee
Hahaha hahaha hahaha
Ukimaanisha?! Mimi ni Sakayo na Shunie ni mdogo wanguu!
Hahhahhha we certified jinga sanaAnhaaa sawa! na hi ni ID yako pia
Ebu sema basi machungwa ipii hiyoHapana najua ni yeye,ila nilivyosema huyu shunie huyu kuna namna nimemaanisha ila siyo kwa nia mbaya.
basii sawaaa alikua hajuiThanks kijana mtata hivi niolewe mara ngapiii au unataka niolewe mara ya pili
Sasa nitaolewa vipi mara ya pili bado nipo kwenye ndoa
Hahaha mshipa wanguHahaha hahaha hahaha
Mshipa wa nani etii