Happy Birthday Shunie!!!!!!!

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hapo binamu ndo napokupendea wewe...hunaga shida na mtu Binamu sijajificha Mambo tu tutaongea PM dear!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28]umeanza sasa...napenda sana mtu anijali!yaani binamu Shunie kuna mwingine simtaji ntamtaja siku ya bday yake miezi hii niliyoadimika acha tu yaani nawashukuru mnoo..abarikiwe aliyeweka jf!!!
Binamu hili gazeti lako limetoka ndani ya uvungu wa moyo wako; mtu atakayefanikiwa kuugusa moyo wako kama alivyofanya mama Heineken ndo ataona hayo maneno matamu hivi. Unajikuta tu unakuwa mfilipino ghaflaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu mniaacheeeee
 
Haha basi nimeacha

Kweli binamu, emu fanya kuwashukuru wajue wana umuhimu gani kwenye maisha yako. Maisha yenyewe mafupi haya, wale watu wanaosimama na sisi kwenye kila hali ni vyema wakajua tunathamini sana wanavyojitoa kwetu
 
Acha kabisa mama mchungaji ukiniona madhabahuni nanena kwa lugha usishangae kabisa
 
Binamu hili gazeti lako limetoka ndani ya uvungu wa moyo wako; mtu atakayefanikiwa kuugusa moyo wako kama alivyofanya mama Heineken ndo ataona hayo maneno matamu hivi. Unajikuta tu unakuwa mfilipino ghaflaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona mama heineken naliona hili jina kukua mama mchungaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…