Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Heri ya kuzaliwa Shunie nakutakia maisha mema yenye furaha na mafanikio kwa miaka mingine utakayopewa ila ukumbuke hili andiko la mhubiri

MHU. :12:1
Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
Nimelipenda andiko; MHU 2:1...!
Sisi waislamu tunasema, "wamaa khalaqtul jinni wal insuu illa liyaabudun..."
Tafsiri: (MwenyeziMungu) hakuwaumba wanaadamu na majini isipokuwa wapate kumuabudu.
 
Back
Top Bottom