Happy Birthday Shunie......!!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu msukuma muache tu auntie yangu, turudi Tanga, hawa wa bara wanawezana wenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni nani mpaka nipingee jamani dear!!

Kaugonjwa nakaona kabisaa jamani mimi
 
Hivi Eli unapenda chini enh?? [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] samahani kwa hilo swali maana daah!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unauliza makofi polisi? Mpare huyo. Wazee wa kupambana chini kwa chini.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…