Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani iko ficha wewe?Auntie bwanah
Kaka ake sakayo, hilo ndio jina rasmi "kwa sasa"!! Hongera kwa kukuwa mkubwa.Asante mnoo [emoji120][emoji120]Eli sijui x shem sijui Kaka akee sakayo yaani siwaelewi mie
Tanga.Wapi sasa jamani
Hahahaha, karibu Same!![emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Tanga hapana, wanashinda na msuli tuu jamani kaka!! Watanitoa kizazi mimi
Hahhhha jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani wewe amekufanikishia mambo yako yote? Mengine anakuacha upambane kivyako.
Utajuta kunitelekeza.Nilijua tu! Kisa tu hunipendi, unaendelea kunisingizia..
Vipi mkuu eti unataka kumuwowa auAmeolewa?
Ngoja atakuja kukuelewesha. Au Sakayo atakuelewesha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachaga hapana kabisaa kaka jamani
Asante Ba mkwe wangu mimi
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]Hivi Eli unapenda chini enh?? [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] samahani kwa hilo swali maana daah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu atakunyooshea yoote maana hakuna kinamshinda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie nimecheka sana