Happy Birthday Shunie......!!!!

Happy Birthday Shunie......!!!!

Okee Okee

1. Kula
2. Kulala
3. Kusafiri
4. Kusoma
5. Kusikiliza miziki
6. Kuimba
7. Kuangalia movies
8. Kucheza
9. Kuangalia mpira
10. Kufanya tahajudi (meditation)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya weka nawe yako hapa
Weka top ten yako na mimi nitaweka top ten yangu. Tunaendelea kumuaibisha shetani [emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okee Okee

1. Kula
2. Kulala
3. Kusafiri
4. Kusoma
5. Kusikiliza miziki
6. Kuimba
7. Kuangalia movies
8. Kucheza
9. Kuangalia mpira
10. Kufanya tahajudi (meditation)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya weka nawe yako hapa


Sent using Jamii Forums mobile app

Ulisema ipo mwishoni mwa top ten yako, sasa hivi hata kuisoma sijaisoma....haha Karma umefeli!
 
Huyu alinitelekeza, sikuku ilivyoisha ndio akarudi. Yule anko wako sasa ndio wa ukweli, shida zangu za kiroho,kimwili na kiuchumi alikuwa anamaliza zooote. Huyu mpare maneno tuuuu[emoji134][emoji134][emoji134]
Huyo anko ni nani jamani nmsalimie mimi
 
Back
Top Bottom