Nikadhani hii post ipo directed kwangu, naendelea kuvaa miwani, kumbe sioni vizuri [emoji23][emoji23][emoji8]
Sijadhani kitu mimi jamani! Nakupenda mnoo
Weka top ten yako na mimi nitaweka top ten yangu. Tunaendelea kumuaibisha shetani [emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa jamani nyie wanaume nioneeni huruma na miaka hii 40 hata mume sina atokee basi wa kunionea huruma aniwowe na mimi nichezewe kwaito [emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji8]
Sijadhani kitu mimi jamani! Nakupenda mnoo
Yuko busy sana siku hizi, Magu anamnyoosha.Yuko wapi eti jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi huko tena jamani nami nikapite wanikonyezee
Okee Okee
1. Kula
2. Kulala
3. Kusafiri
4. Kusoma
5. Kusikiliza miziki
6. Kuimba
7. Kuangalia movies
8. Kucheza
9. Kuangalia mpira
10. Kufanya tahajudi (meditation)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya weka nawe yako hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale hata vitochi sidhani kama wanavijua.Kama kuna mmoja humu ajitokkeze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye mipango yenu sijawahi jipata hata kwa bahati mbaya jamani
Ndio kisa ukamuacha akawa KakaMimi nawapenda, mnajua kubebisha sana
Huyo anko ni nani jamani nmsalimie mimiHuyu alinitelekeza, sikuku ilivyoisha ndio akarudi. Yule anko wako sasa ndio wa ukweli, shida zangu za kiroho,kimwili na kiuchumi alikuwa anamaliza zooote. Huyu mpare maneno tuuuu[emoji134][emoji134][emoji134]
Hahah...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Habari za wewe eti jamani [emoji1780]