Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mlikuwa mnanitetaYup...
But now kaja kijiweni, ngoja tuyajenge...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mlikuwa mnanitetaYup...
But now kaja kijiweni, ngoja tuyajenge...
Mimi mwenyewe mzee wa miaka 40 hivi mbona umefutaHahahaha nani anasema we ni muzee ?
MTC | 101| [emoji769]
We mzee unacheka tuHahahaha
MTC | 101| [emoji769]
Uongo!!Mongo ni nini?
Wacha we!! Muite na yule mtoto mwenzio mjiongezee.Naona humu ndani kila mtu mzee wa miaka 40,, [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] haina neno kama siku hizi uzee mtu anajitunuku tu basi hata mie kuanzia leo najitunuku uzee wa miaka 42.. [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] tena hata hiyo naona kama hainitoshi ngoja kesho nitaongeza mingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni upi?Uongo!!
Wacha we!! Muite na yule mtoto mwenzio mjiongezee.
Haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na yale majibu yake ya kukera.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Enheee ana majibu ya kukera ka yako vile,, yaani una majibu ya kukera we dada haujui tu ila nakupendaga hivyo hivyo eti..
Sent using Jamii Forums mobile app