Nilisema na 45 jamani ebu kumbuka karma
Kwa m pesa jamani
Sakayo hajakosea miaka 40 iliyopita bado sijafika 50 ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaona sasa si ndiyo hayo ninayoyasemea??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enheee ana majibu ya kukera ka yako vile,, yaani una majibu ya kukera we dada haujui tu ila nakupendaga hivyo hivyo eti..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ikifika miaka 50 unakuwa kitu gani?Sakayo hajakosea miaka 40 iliyopita bado sijafika 50 ujue
Nani kasemaDuuh...! Kumbe Shunie nae kavuta. Basi sawa. Happy birthday Shunie. Kwa hiyo itakuwa alizaliwa mara 2 kwenye mwaka mmoja kama watu wa dar?. Mwezi wa 5 mlisema happy birthday Shunie,na mwezi huu tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana jamani
Unakuwa kawaida tu
Hhahahha yaani nimecheka sanaHahahahaha
Kuna kitu anatafuna sio yeye kabisaa