Acha kabisa dear tena usiombe upitie chochote kigumu unabaki kulia tu unabaki kusema mama angekuwepo mama angekuepoAsante Shunie, ni kweli hayazoeleki.
Unajikuta kila ukigusa kitu unamkumbuka. Ni Giza tororo kila siku.
Hahhaahha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siyo huku kule whatsapp,, wengine wamenimind wengine hawanijibu ila walionizoea tumebaki tunataniana tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha
Alijimwambafai siku hiyoo nakwambia, anapiga hesabu zake jukwaani za kutoa! Nikamwangalia nikasemaa hiiiiiiii
Niunge huko tukajibizane huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siyo huku kule whatsapp,, wengine wamenimind wengine hawanijibu ila walionizoea tumebaki tunataniana tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko mbali saaana jamani...
Wewe umekuwa muwazi saaana kwenye umri! Hukuusoma mchezo eehhh
Hahahhaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani nimekuwa muwazi mno kwenye umri hadi watu wameanza kunidharau,, mixer na hizi pumba ninazoandika siku hizi basi nahisi watu wakisoma comments zangu wanabaki wanatikisa vichwa tu.. [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] [emoji23]Anafikiri sisi hatuelewii
Yameisha dadaBasi jamani!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani nimekuwa muwazi mno kwenye umri hadi watu wameanza kunidharau,, mixer na hizi pumba ninazoandika siku hizi basi nahisi watu wakisoma comments zangu wanabaki wanatikisa vichwa tu.. [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakutumia pm cheti ch kuzaliwa sijui utaendelea kukana ujue humu wengi vizee sisi