Sema kweli jamani unataka kutuma muhamala
Usisubutu kusema ukweli humu jf hata mkijuana hakitaharibika kituHahaha nilianza kwa kusema nina miaka 42 watu wakawa wanaamini mwisho wa siku wanakuja kunifahamu wanakuta nina miaka 22 wanaanza kushangaa ni wewe kweli mwenye mineno yote ile kule JF nawaambia ni mimi,, sasa mwisho wa siku nikaona isiwe taabu acha niseme tu umri wangu halisi ili kusudi tukifahamiana tusishangaane tena..
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaaah!! Nina njaa auntie, keki iko wapi?Auntie wangu huyo kuku wa kizungu
Mbona nimekuja pm haupo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaona sasa mambo ya wabongo haya??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bwana
Katoe keki tule bwana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie wangu bwana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi si uliaga keki anayo sakayoKhaaaaah!! Nina njaa auntie, keki iko wapi?
Hahahaha
Alijimwambafai siku hiyoo nakwambia, anapiga hesabu zake jukwaani za kutoa! Nikamwangalia nikasemaa hiiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwiii
Bia 80[emoji4][emoji4][emoji4]Wanaumwaga na siku za sikukuu?. Labda niumwe bia ziliingia kama 80 tumboni...[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089] (natania tu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki na we akili zimefyatuka siyo bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitoto kichoyo hiki.Keki inaliwa chumbani