We yako iwe mtondogoo yangu mimi siku mbili utanizibia kupata zawadiHuh!! Basi namimi yangu keshokutwa.
Kabisa. Natamani hata nilale ndani ya pipa,ile ambayo haijamixisiwa vizuri pale breweriesBia 80[emoji4][emoji4][emoji4]
Hahahha ndio ushangaeKeki inaliwa chumbani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kamishina wangu wa TRA bwanaUnazikusanya tuu
Shukrani mkuu
Hahahha ila auntie mambo za chumbani si umeleta weweKitoto kichoyo hiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe ni kiasi hauniamini basi nimeghaili situmi tena
Nishatuma mie mwambie aangalie pm [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shunie tuma namba
Yuko hukooo michepukoni.@Eli79