Ebu acha wivuHmmmm
KhaaaaaaaSijasahau, sema mambo yamevurugika kabisa, nikiwa na wazo la pesa usiku nikilala siku ya pili nikiamka, mpango wote unavurugika [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mama mkwe natamani kupata mwaliko wa mwaka mpya.[emoji1751]Mmh mimi siku hizi jf sio sana nimekutengaje sasa ebu acha maisha ya kujishtukia usiwe hivyo ukiishi hivyo utapata shida sana
Usishangae wengine ndio maisha yetu sahv! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Khaaaaaaa
Sitakuwa na nafasi mkesha wa mwaka mpya na tar 1 naingia kazini jioni
Asante dada wa mie [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] nakupenda wa kunyumba wanguUishi miaka mingi dada wa mie.
Kwahiyo unazidi kumdanganyaUsishangae wengine ndio maisha yetu sahv! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakupenda zaidi Dada wa mie. 😍😍Asante dada wa mie [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] nakupenda wa kunyumba wangu
Pole sana jamani kaka!!Sijasahau, sema mambo yamevurugika kabisa, nikiwa na wazo la pesa usiku nikilala siku ya pili nikiamka, mpango wote unavurugika [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mbona umechelewa jamani cake imeisha toka janaMimi nakupenda zaidi Dada wa mie. [emoji7][emoji7]
Haya nipo nasubiria hiyo Keki Mtanga mie. Au ishaisha? [emoji41][emoji41]
Sijui anamkwepa naniKabisaa jamani dear
Wapi ukoKeshaharibuu