Happy Birthday Shunie......!!!!

Happy Birthday Shunie......!!!!

Napitwa na mengi sana,hadi bday ya my ex mkwe imenipita hivi hivi,happy belated bday mkwe [emoji324][emoji322]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana huwa anakununia
Mambo mengi mpaka muda mwingine nakua napita juu kwa juu tu humu,nishamzoea mwenyewe mkwe wangu wa kununa nuna [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shauri yakooo
Haya naomba zawadi basi utume kwa tigo pesa kwa mkweo wa kununa nuna
 
Back
Top Bottom