Happy Birthday Shunie......!!!!

Happy Birthday Shunie......!!!!

Naumia mimi jamani kaka, usiseme hivyo jamani!!

Hivi ushauliza kama sijambo mimi jamani!! Kula na kunywa tutakula tuu jamani kaka, sio lazima iwe Christmas jamani!
Kwani unaumwa mdogo wangu? Sidhani kama Xmas hii utaumwa, huwezi kuumwa hata kidogo.
 
Back
Top Bottom