Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shunie wewe leo mwari, acha maneno machafu.Hahhaha halafu kapo sehemu mbaya
HahahahahaHuku si huwa tunajifanya tunapanga budget yetu tu,, ila kiukweli tuko kama wanne hivi wawili tulitaka tuwafanyie surprise ila mmoja ndiyo wewe umejua leo mwingine hajajua..
Ila huu uongo hata mimi sijui nimeuanza lini yaani shetani ananitafuta kwa lazima wallah
Sent using Jamii Forums mobile app
minataka mahela ya vikoba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mecheka mimiii aki!!
Wewe wa kukosa mahela kweeliii?!
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]aiseee
aibu nimeona mimi
Hahahahaha
Kwani wewe umewaza kucheka nini... nikajua kucheza mpira
Unapenda bana, wala hatuashumuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi yeshe jameni tuashumu napenda
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji85][emoji85][emoji85] Tatizo wananishawishi na maneno yaoShunie wewe leo mwari, acha maneno machafu.
Happy Birthday to you.
May almighty God grant you long and prosperous life. Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha
Daaahhh....mnaenda lini eti jamani
Kweli bwana acha kunicheka
Hahaha Mimi sio ni raia mkakamavu kama weweAaah jamani unajikana au me ndio sielewi