kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
Acha tu, sio kwamba sijapenda, ila nikiwaza kuzama dm...Roho ya forex ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu, sio kwamba sijapenda, ila nikiwaza kuzama dm...Roho ya forex ππππ
Acha wogaa! Uneza pata bongesa la wifey materialAcha tu, sio kwamba sijapenda, ila nikiwaza kuzama dm...View attachment 3043050
Safi sana, ngoja nikae kimkakatiAcha wogaa! Uneza pata bongesa la wifey material
Sawa mkuu ila kuwa makini usije kutana na mamwela ukaanza kutia huruma ukatutoa machozi ndugu zako sisi tunao kupenda kwa dhati. Tusije kupata kazi kubwa ya kukufariji.Mkuu umenipa nguvu hili ntalifanyia kazi kwa utaratibu maalum
Kama ni hivo sawa. Afadhali umenielewesha na ujinga umenitoka.!!Anatutakia mema tu mkuu shukrani sana kwake
Huyu hajui tu, aisee humu kuna pisi kali alafu zinajielewa ila tu asiwe na papara sababu kuna mafisi pia.π€£Acha wogaa! Uneza pata bongesa la wifey material
Hapana haturuki ruki ila ni harakati tu katika kutafuta mti ladha utakao kutuliza moyo na nafsi ikapoa.Nyie vijana mnarukaruka sana
Wow! Samahani nje ya mada kidogo, unaweza kunimegea kidogo siri ya hili jina Fake P?Aikoo. More life kwake Smart at the end we should learn to appreciate.
ππ
Kuna mambo yanafurahisha sana...Block unblock block unblock block unblock π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Unawashwa ??
Mxxxieeeeeeeeww
Una bahati sana nakujibu
Unanijibu kwakua unanipenda
Toa komata yako hapa umenimiss sio bure
Nikumis ili nigundue nini kwendraaaaa kwa wanawake zako hukoo π€π€π€
Nawe kwendraa kwa vibabu vyako
Babu who which when mxxxieeeeeeeeww πππ ππππ€£π€£πππππ€π€π€π€
True love comes with jealous in it walai Ishi sana loveππππππΊπΊ!
Best friend tena!!??Anazidi kuzeeka tu walai
Wishing nothing but the absolute best for my best friend. Maybe he live longer
Amen
Hii code ni π₯Kabiiiiiiiiiisa mkuu wewe lenga mishale yako vizuri tu hutojutaaa!
True love comes with jealous in it love yani nikikumbuka Nacheka mpaka nataka kujikojolea walaiiiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€!Kuna mambo yanafurahisha sana...
Unani block mweneywe, alafu unaniuliza, mbona upo online unafanya nini...
Hahahaha Dah!! Mbona hujibu, unachat na wanawake zake...
Ukiona Smart911 typing.... Unanipa block...
Sijakaa sawa unani unblock unanipigia video call, nikipokea unanipa block... Hahahaha
Sijakaa sawa unanishushua gazeti... Kuniatakia nife na nikifa nioze kabla hata ya kuoshwa...
Acha wivu eee...πkuna mmoja karogwa...π